MAAJABU YA AYATUL QUYRSIYY KATIKA TIBA NA KUONDOSHA UMASIKINI BISMILAH RAHMAN RAHIM ASALAM ALAYKUM WARAHMATULAH WABARAKATU .Shukrani zote anastahiki mola mlezi wa viumbe vyote.Na ameiteremsha Quran kwa bwana mtume Muhammad s.w na aya zake ni ponyo ya maradhi mbalimbali .Ayat qursiyy huondisha matatizo mbalimbali na maradhi kwa wenye kuamini na wakafahamu namna ya kuitumia.Mtu mwenye kuisoma ayat qursiyy katika chakula Mara saba kisha chakula kikapikwa kitakuwa kingi watu watakula mpaka watashiba kama chakula kitakuwa Michele atauchukua kidigo atausomea ayatu qursiyy saba,bismilah saba na swala ya mtume saba akimaliza atachanganya na mchele mwingine atapika kwa utukufu wa ayat qursiyy watu watakula mpaka watashiba.Na mtu yeyote aliyefungwa jela akawa anasoma ayat qursiyy asubuhi na jioni Mara 20 mwenyezimungu atamfanyia sababu ya kutoka jela. Imepokewa hadithi na Ali bin Abutwalib kutoka kwa mtume amesema mtume mwenye kuisoma ayat qursiyy wakati wa kulala atakuwa na ulinzi mpaka asubuhi.Na mtu mwenye maisha magumu basi asome kila baada ya swala ya faradhi ayat qursiyy kumi na swala ya mtume kumi mwenyezimungu atamuondoshea ugumu wa maisha.Ikiwa mtu ana Mali au mzigo anaogopa kuibiwa ausomee mzigo huo ayat qursiyy saba kwa lengo la kumuomba mwenyezimungu aulinde mzigo wake atausimea hivi.'- Bismilah rahman rahim Mara 100 swala ya mtume Mara 100 kisha ayat qursiyy saba,mwenyezimungu ataulinda mzigo wake au Mali zake inshaalah. Mtu mwenye kutaka kuondosha matatizo katika familia take basi asome swala ya mtume Mara 100 na a some ayat qursiyyy Mara 10,kama katika nyumba hiyo kuna matatizo na mabalaa yataondoka inshaalah. Ikiwa mtu anataka kuondosha dhiki basi a some kila siku asubuhi ayat qursiyyy saba suratul fatiha saba na swala ya mtume Mara 100 atafanya hivyo asubuhi na jioni haitopita mwenyezimungu atamwondoshea dhiki. Ikiwa mtu amefanyiwa uchawi akawa amedhuriwa kwa uchawi basi asomewe mgonjwa ayat qursiyy kwa idadi ya harufi zake 170 atasomewa mgonjwa aliye rogwa inshaalah atapona kisha baada ya kumsomea mgonjwa utachukua zafarani utaiandika ayat qursiyyy yote katika karatasi nyeupe kisha utaiweka katika chombo kisafi cha maji utampa mgonjwa aoge na kunywa kwa muda wa Siku saba kwa uwezo wa mungu atapona. Ikiwa mtu amepatwa na jini basis asomewe ayat qursiyy kumi na moja atapona kwa uwezo wa alah. Kwa kweli aya hii ina kazi nyingi hizo ni baadhi ya faida ndugu zangu.Kwa wale wenye kusumbuliwa na majini,uchawi,mikosi,wameendamwa na matatizo,kukosa ujauzito wamehangaika sana,nguvu za kiume,limbwata,kupanda cheo,kumrudisha MKE/mume aliyetoroka,dawa zetu mbalimbali wasiliana nasi +255763314206 /+255684150612 /+255657929022,ASALAM ALAYKUM WARAHMATULAH WABARAKATU.

Comments
Post a Comment